Sunday, 23 April 2017

UHASAMA WA KOREA KASKAZINI NA MAREKANI (2)





USAHAMA WA KOREA KASKAZINI NA MAREKANI (2)

Baada ya kipindi cha mazungumzo kiasi baina ya korea na Marekani mwaka 2008 Korea Kaskazini ilishutumiwa kua imeanzisha tena shughuli zake za nyuklia kwenye kinu chake cha Yongbyon. Hii ilikuja baada ya Korea kaskazini kuiambia Marekani imeshindwa kutekeleza baadhi ya matakwa waliyokubaliana ikiwa n pamoja na kutolewa kwenye orodha ya nchi magaidi. Mwaka huo huo wa 2008 mwez october Korea na Marekani waliingia makubaliano kua itaondolewa kwenye nchi zinazofadhili ugaidi.