Posts

Showing posts with the label BURUDANI

ISRAEL NA PALESTINA NI MGOGORO WA KINABII AU ASILI?

Image
Picha kwa hisani ya mtandao ISRAEL NA PALESTINA NI MGOGORO WA KINABII AU ASILI?  "Vita havina macho". Ni msemo tu katika jamii nyingi ukiwa na onyo la kutokushadadia vita.  Tarehe 7 Oktoba 2023 majira ya saa 12:30 asubuhi kwa saa za Israel, kulitokea shambulio la kushtukiza kutoka kikundi cha HAMAS ambacho kwa tafsiri ya Marekani na washirika wake ni kikundi cha kigaidi.  Tukio hilo lilidhihirisha udhaifu katika idara ya ujasusi ya Israel kwa maana ya Mosad pamoja na Shin Bet. Kikubwa zaidi ni kile kilichokuja kuwa ni kisasi cha Israel dhidi ya Hamas katika ukanda wa Gaza. Itoshe kusema mitaa mingi ya Gaza City imekua kama mji wa Kale uliokumbwa na kisa cha kutisha mno. Imekua kama "Ghost City".  Tangu hapo kumekuwa na maoni tofauti juu ya nani yuko sahihi katika hili. Ukweli ni kwamba katika wakati huu ni swali baya ila kikubwa ni nani atasalia? Achilia mbali kua sahihi. 

MISTARI YA KENDRICK LAMAR KWENYE MTIHANI WA CHUO.

Sasa hivi mistari ya wanamuziki imeanza kutumika kwenye mtihani. Wanafunzi wa chuo kikuu cha Strathmore walishikwa na butwaa baada ya kuingia kwenye chumba cha mtihani na kukutana swali ambalo lilikua na mistari kutoka kwenye wimbo wa Kendrick Lamar

TOP 10 MUGABE'S HILARIOUS QUOTES ON RELATIONSHIP

Check out 10 Hilarious Quotes By President Robert Mugabe On Relationships.

TOP 10 YA WACHEKESHAJI MAARUFU ZAIDI AFRIKA.

Wakati flani maisha yanaweza kwenda kombo lakini tunaweza kucheka tu. Hii hapa ni  Top 10 ya wachekeshaji maarufu zaidi Afrika.