Friday, 23 September 2016

Sunday, 18 September 2016

PICHA 10 AMBAZO HUWEZI KUAMINI KAMA NI ZA KUCHORWA

Huko Accra, Ghana anaishi kijana mmoja ambae maajabu yake makubwa yapo katika matumizi ya kalamu ya risasi "Pencil". Jina lake maarufu anaitwa Theopencil kutokana na matumizi yake ya kalamu.