Muendelezo wa vitisho baina ya korea kaskazini na Marekani kwa mwezi wa nne 2017.
Makombora ambayo inasafikika yanamilikiwa na Korea Kaskazini.(Picha kwa msaada wa BBC)
Makombora ambayo inasafikika yanamilikiwa na Korea Kaskazini.(Picha kwa msaada wa BBC)
April
Korea kaskazini ilirusha kombora jingine kulenga bahari ya Japan na kitendo kilichozua hofu kubwa toka Japan.
Japan imeijibu vikali Korea Kaskazini kufuatia nchi hiyo kufyatua kombora jingine hivi karibuni na kutaja hilo ni tatizo kubwa lililopindukia.
Korea kaskazini ilirusha kombora jingine kulenga bahari ya Japan na kitendo kilichozua hofu kubwa toka Japan.
Japan imeijibu vikali Korea Kaskazini kufuatia nchi hiyo kufyatua kombora jingine hivi karibuni na kutaja hilo ni tatizo kubwa lililopindukia.