Posts

Showing posts from July 31, 2016

RAISI AMTEUA MKEWE KUA MGOMBEA MWENZA

Image
Managua. Rais wa Nicaragua, Daniel Ortega amemtaja mkewe kama mgombea mwenza na makamu wa rais wakati huu ambapo anawania kuchaguliwa kwa muhula mwingine.

WATAWALA WA SHERIA AU UTAWALA WA SHERIA??

UTAWALA WA SHERIA vs WATAWALA WA SHERIA. Hiki kichwa cha habari niliona kikiwa kwenye lugha ya kingereza. Ni kitabu kilichoandikwa na Prof. Issah Shivji akielezea maisha ya Jaji mkuu mstaafu Barnabas Albert Sammata. Nilipenda kukisoma kitabu hiki lakini sikufanikiwa. Ila nilifanikiwa kupata dhima ya juu ya kitabu. Lakini nilipenda maneno machache tu ya jaji samata ambayo nami ntayatumia hapa. Aliwahi kusema "Let everyone in our society give justice a chance to prevail".(Hebu tufanye kila mmoja wetu katika jamii aipe haki nafasi ya kukua"[tafsri sio rasmi]). Katika taifa lolote lile litakalokua linajiita ni taifa la kidemokrasia basi halina budi kuruhusu ustawi wa haki. Na haki itakuepo pale tu ambapo watu waliopewa dhamana ya kuisimamia wanakua na maadili. Amini usiamini ila kuna kazi hazihitaji saana maadili kama zingine. Uongozi ni kazi ambayo huwezi kuifanya kama huna maadili. Wanasaikolojia wanaamini ili kuweza kumjua mtu alivyo ni lazma tumjue kupitia tabia. ...

JARIBIO LA KUONESHA KAMA HUYO ULIYE NAYE ATAKU MME MZURI KWAKO (2).

Image
Ni muendelezo wa tulipoishia....

UCHU WA NGONO WAPUNGUA_SWEDEN

Image
Taifa la Sweden linazindua utafiti wa miaka mitatu kuhusu maisha ya ngono ya raia wake.

JARIBIO LA KUKUONESHA KAMA HUYO ULIYE NAYE ATAKUA MME MZURI KWAKO.

Image
Jaribio muhimu kujua kama kweli atakua mume mwema kwako. Ndoa ni safari ndefu na ni muhimu kwa watu kuchagua wenza wao wa maisha ili waweze kuishi nao. Kuna maswali muhimu unapaswa kujiuliza kuhusu huyo mme wako wa baadae ili kujua mahusiano yenu yanaweza kwenda mbali kiasi gani. Kuna viashiria vinaweza kukuonesha ni kipi unaweza kukipata baada ya wewe kumkubali huyo uanaemfikiria kua awe mmeo.