Posts

Showing posts with the label ELIMU

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?

Image
AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? HATIMAYE AFRIKA IMEANZA KUZINDUKA. Ramani ya dunia  Tulipokua shuleni tulijifunza mengi juu ya Afrika lakini mengi ilikua ni upotoshaji wa kukusudia au kutokukusudia. Hilo linajidhihirisha pale unapotazama ramani ya dunia. Utaambiwa Afrika ni bara la pili kwa ukubwa duniani nyuma ya Asia lakini ukitazama ramani utagundua Amerika ya Kaskazini inaonekana kuwa ni kubwa kuliko Afrika. Lakini je Afrika ina ukubwa gani? Na kwanini sasa Umoja wa Afrika unahitaji taasisi kuu ulimwenguni kote kutumia ramani mpya ya Afrika kulikoni?  Tunarejea takribani miaka 456 hivi nyuma kuanzia sasa. Tunakutana na mwaka 1569, na hapo tunakuja kukutana na mtu mmoja aliyepata kua ni mwanajiografia na mchora ramani kutoka Flanders (Kijiografia eneo hili liko Ubelgiji na kijamii na kiutamaduni limekaliwa na watu asili ya Wadachi). Mtu huyu alitwa Gerardus Mercator ambaye ndiye aliyechora ramani hii ya dunia ambayo katika karne ya 18 ilirasmishwa kutumika katika maswala ya usa...

KUTANA NA MARAIS "VIPANGA"KUTOKA AFRIKA.

Image
KUTANA NA MARAIS WALIO BUKUA KWA SANA(VIPANGA) KUTOKA AFRIKA. Sio tu kua hawa viongozi wana nguvu na ushawishi kisiasa bali ukiangalia taaluma zao pia ziko juu sana. Wana weledi mkubwa kitaaluma na hawa wanatuthibitishia ule msemo wa kiingereza usemao "readers are leaders". Orodha hii imepangwa kulingana na vigezo vyao vya kitaaluma.

MISTARI YA KENDRICK LAMAR KWENYE MTIHANI WA CHUO.

Sasa hivi mistari ya wanamuziki imeanza kutumika kwenye mtihani. Wanafunzi wa chuo kikuu cha Strathmore walishikwa na butwaa baada ya kuingia kwenye chumba cha mtihani na kukutana swali ambalo lilikua na mistari kutoka kwenye wimbo wa Kendrick Lamar

JOINING INSTRUCTIONS

PAKUA HAPA FORM ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2016 KWA SHULE ZOTE. http://www.tamisemi.go.tz/noticeboard/joining-instructions