Thursday, 13 September 2018

TOP 5 YA MAMBO AMBAYO SIO LAZIMA UMUELEZE MTU.

Imekua ni kawaida sana watu wawili au zaidi mnapokutana basi hua kuna uhitaji wa kujua kwanini mwenzako anafanya hiki au anaoneka vile au anasema kile.  Na ni hadhiri kua binadamu hua tuna tafuta namna ya kuweza "kujitetea" wenyewe.  Lakini je kuna sababu ya wewe kujitetea kwa mtu kwa kila jambo?  Jibu ni HAPANA sio kila jambo ni lazma kulizea.  Wakati flani jitahikunyamaza hususani kwenye mambo haya: