Saturday, 19 August 2017
KANDE ZA MPAISHA MTU HUKO KENYA.
Martin Kamotho (Githeriman) kabla na baada ua kupata msaada.
Picha kwa hisani ya Google.
Maisha hayana maana moja na kila mtu atatoa maana ya maisha kwa vile ambavyo yeye anachukulia ni nini maisha yana maanisha kwake. Na kila siku hua tunasikia watu wakisema "Hakuna kukata tamaa" ni kweli lakini mwingine anajiuliza kwanini nisikate tamaa?? Kila mtu ana jibu lake sasa leo tumepata somo jingine zuri sana kutoka Kenya.
Sunday, 13 August 2017
VURUGU ZIMEZUKA KWENYE MAANDAMANO MAREKANI
Waandamanaji wakiwa katika moja ya viunga vya Charlottesville, Virginia.
Mamia ya wamarekani weupe (wazungu) na wale wanaowapinga walitarajia kufanya maandamano leo jumamosi kwa kile kilichofahamika kama "Unite the Right"(Ungana na mrengo wa kulia) huko Charlottesville, Virginia
Subscribe to:
Posts (Atom)