KUMBUKIZI YA KIFO CHA GADDAFI . Ilikua huko katika mji wa Sirte alizaliwa mwana wa kiume kama Muammar Mohammed Abu Minyar al-Gaddafi na baadae alifahamika kama Colonel Muammar Gaddafi kiongozi wa Libya kati ya September 1, 1969-October 20, 2011. Alikua ni Mlibya mmoja mwenye asili ya kitaliano aliyezaliwa na kukuzwa katika mazingira ya kimaskini katika nchi maskini ya Libya.
Posts
Showing posts from October 27, 2019