Posts

Showing posts with the label MICHEZO

NANI KUA MWANASOKA BORA KWA MWAKA HUU?

Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016, majina hayo 10 yametangazwa huku Cristiano Ronaldo akipewa nafasi ya kushinda tuzo hiyo itakayotolewa Agosti 25 mwaka huu.

RIO FERDINAND AITOLEA MATE KAZI YA UKOCHA KUINOA ENGLAND.

Rio Ferdinand anaitamani kazi ya kukukinoa kikosi cha timu ya taifa ya England maarufu kama "Simba watatu".

RONALDO AMFUNIKA MESSI KWA MAPATO KWA MWAKA 2015

Christiano Ronaldo ndiye mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes.

UEFA YAMTAJA MCHEZAJI BORA WA EURO 2016

Leo jumatatu UEFA imemtaja mshambuliaji wa ufaransa na mfungaji bora wa mashindano hayo Antoine Griezmann kua ndiye mchezaji bora ya michuano ya ulaya kwa mwaka 2016.

GARI LIENDALO KWA KASI ZAIDI KUUNDWA NA LITATUMIA INJINI YA NDEGE.

Mradi wa kuunda gari liendalo kasi Zaidi duniani umefufuliwa na gari hilo linatarajiwa kujaribu kuvunja rekodi ya dunia mwaka ujao.

URENO WATWAA UBINGWA WA EURO 2016 BILA CHRISTIANO RONALDO

Hatimaye timu ya taifa ya Ureno imetwaa kombe la mataifa ya Ulaya (EURO)2016 baadaya kuwazaba wenyeji wa mashindano hayo timu ya taifa ya Ufaransa goli 1-0.

WACHEZAJI SITA AZAM WATEMWA, WAWILI WAFELI MAJARIBIO

UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, umetangaza rasmi kuwatema wachezaji sita kwa awamu ya kwanza huku nyota wawili wakifeli majaribio.