Posts

Showing posts with the label Technology

TOP 10 YA SIMU KALI ZILIZO SOKONI MPAKA SASA

Kila mtu anapenda kutumia kilicho bora zaidi. Sasa hapa nina orodha ya simu kali zilizoko sokoni mpka sasa 2016. Kama humiliki moja kati ya hizi....daah.

SMARTWATCH YAKO INAWEZA KUWAPA WAHALIFU NAMBA YAKO YA SIRI YA ATM.

Smartwatch na vifaa vingne tunavyovivaa mwilini vinaweza kutoa namba yako ya siri ya ATM kwa wadukuzi "hackers".

SAMSUNG YAFELI JARIBIO LA KUKAA KWENYE MAJI

Simu ya kisasa ya Samsung Galaxy S7 inayopigiwa upatu kuwa na uwezo wa kustahimili kuwa chini ya maji imefeli majaribio ya shirika la moja la kutathmini ubora wa bidhaa za kielektroniki. Programu ya simu hiyo ya Samsung Active ilizima punde baada ya kutumbukizwa ndani ya pipa la maji. Kampuni hiyo ya kutathmini ubora wa bidhaa, Consumer Reports ilirejelea jaribio hilo kwa mara ya pili wakitumia simu tofauti na kama ile ya kwanza ikafeli. Kampuni ya kutengeza simu hiyo ya Samsung ikijitetea imesema huenda simu hizo zilikuwa ni mbovu na hivyo kuruhusu maji kuingia ndani. Simu hizo zilitumbukizwa ndani ya mapipa ya maji na kutolewa baada ya dakika. Simu hizo za Samsung zilizima. Kulikuwa hata na maji katika eneo la kamera za simu hizo mbali na viputo. Kampuni inayotengeza simu hizo kutoka Korea Kusini Samsung imejitetea vikali ikisema kuwa Galaxy S7 Active, inayouzwa Marekani imefanyiwa majaribio kabambe na hata kupewa cheti maalum cha IP68.

FACEBOOK KUTUMIKA KUTUMA NA KUPOKEA PESA.

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni na hayawi hayawi sasa yamekua.

UNATAKA KUFUTA TAARIFA ZAKO KUTOKA GOOGLE? USIPITWE NA HII HAPA.

Ulishawahi kukaa ukafikiria kama unahitaji kufuta taarifa zako kutoka Google? Sasa usiwaze kila kitu ni kirahisi. Labda ulishawahi kutumia Google kutafuta taarifa flani na

KAMA UNAMILIKI SMARTPHONE NA UNAPENDA KU EDIT PICHA HAKIKISHA HAPITWI NA HII

Kama unamiliki smartphone au kompyuta na unapendelea kuhariri picha zako basi moja kati ya hizi application za kuhariri picha sio za kukosa!! Unaanzaje kukosa kwa mfano??