Posts

Showing posts from December 9, 2018

ZINGATIA HAYA KABLA YA KUNUNUA SMARTPHONE YAKO.

Image
DONDOO MUHIMU KABLA YA KUNUNUA SIMU MPYA. Kwa sasa kuna makampuni mengi yanayozalisha simu na simu hizo kila ile ni bora kwenye nyanja flani na wakati mmoja zinaweza kua bora nyanja zote. Ili kuepuka kununua simu mara kwa mara na kulinda kipato chako unaweza kufanya yafuatayo. 1. Angalia mfumo endeshi wa simu (Operating system)  unaweza kuchagua Android au IoS kulingana na mahitaji yako mwenyewe au matakwa ninafsi.  Kila mfumo endeshi una faida na hasara zake kwa hio ni vema kuchunguza kwanza kabla hujaingia dukani. 2. Angalia features muhimu za simu husika. Usiende tu kununua simu ila uwe na vigezo nanunua simu hii kwa sababu flani.  Mfano kwa simu za sasa nying zinakua na fingerprint scanner,  face ID,  AI technology  n.k kama unapenda kwenda kisasa lazma ujue je,  simu ina hizo features? 3. Ufanisi na uwezo wa simu. Utaipima simu kwa kuangalia uwezo wake wa kufanya kazi mfano kufungua mafaili,  ubora wa picha na video,  ...