Friday, 3 February 2017

MAREKANI YAIONYA IRAN KWA KUIWEKEA VIKWAZO VIPYA.



Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeiwekea vikwazo Iran kufuati hatua yake ya hivi majuzi ya kulifanyia jaribio kombora.
Wizara ya fedha ya Marekani ilitangaza hatua dhidi ya watu 13 na kwa kampuni kadha leo Ijumaa.

Tuesday, 31 January 2017