Friday, 3 February 2017
MAREKANI YAIONYA IRAN KWA KUIWEKEA VIKWAZO VIPYA.
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeiwekea vikwazo Iran kufuati hatua yake ya hivi majuzi ya kulifanyia jaribio kombora.
Wizara ya fedha ya Marekani ilitangaza hatua dhidi ya watu 13 na kwa kampuni kadha leo Ijumaa.
Tuesday, 31 January 2017
MATOKEO KIDATO CHA NNE 2016
Baraza la mitihani la taifa limetoa matokeo ya kidato cha nne 2016. Kuangalia matokeo bonyeza hapa>>>http://tanzania.go.tz/result_csee_2016/CSEE_2016/index.htm
Subscribe to:
Posts (Atom)