Posts

Showing posts from January 29, 2017

MAREKANI YAIONYA IRAN KWA KUIWEKEA VIKWAZO VIPYA.

Image
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeiwekea vikwazo Iran kufuati hatua yake ya hivi majuzi ya kulifanyia jaribio kombora. Wizara ya fedha ya Marekani ilitangaza hatua dhidi ya watu 13 na kwa kampuni kadha leo Ijumaa.

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2016

Baraza la mitihani la taifa limetoa matokeo ya kidato cha nne 2016. Kuangalia matokeo bonyeza hapa>>> http://tanzania.go.tz/result_csee_2016/CSEE_2016/index.htm