Rio Ferdinand anaitamani kazi ya kukukinoa kikosi cha timu ya taifa ya England maarufu kama "Simba watatu".
Saturday, 16 July 2016
MISTARI YA KENDRICK LAMAR KWENYE MTIHANI WA CHUO.
Sasa hivi mistari ya wanamuziki imeanza kutumika kwenye mtihani. Wanafunzi wa chuo kikuu cha Strathmore walishikwa na butwaa baada ya kuingia kwenye chumba cha mtihani na kukutana swali ambalo lilikua na mistari kutoka kwenye wimbo wa Kendrick Lamar
SERIKALI YAKANUSHA KUA INATAKA KUFUTA POSHO ZA MADAKTARI.
Serikali yakanusha kukata posho za madaktari.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na Uvumi katika Mitandao ya Kijamii kuwa Serikali imeamua kushusha Mishahara ya Madaktari kwa asilimia 30% ili kuendana na dhana ya Hapa kazi tu na kuwa Serikali imekusudia kufuta malipo ya Posho za Wataalamu wa Afya walio katika Mafunzo kwa Vitendo ufafanuzi kwa Umma wa Watanzania na Watumishi wa Sekta ya Afya kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na Uvumi katika Mitandao ya Kijamii kuwa Serikali imeamua kushusha Mishahara ya Madaktari kwa asilimia 30% ili kuendana na dhana ya Hapa kazi tu na kuwa Serikali imekusudia kufuta malipo ya Posho za Wataalamu wa Afya walio katika Mafunzo kwa Vitendo ufafanuzi kwa Umma wa Watanzania na Watumishi wa Sekta ya Afya kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
MAPINDUZI YA KIJESHI NCHI UTURUKI
Kundi moja la kijeshi nchini Uturuki linasema limechukua udhibiti wa nchi, huku madaraja jijini Istanbul yakifungwa na ndege za kijeshi zikionekana kupaa katika anga ya Ankara.
Friday, 15 July 2016
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2016 YATANGAZWA
Kuangalia matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka huu 2016 ingia kwenye hii link hapa………>>>http://www.necta.go.tz/results2016/ACSEE2016/index.htm
CHADEMA KUTOKUZUIA MKUTANO WA CCM
Sumbawanga. Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Mkoa wa Rukwa limetangaza kuwa hawatakwenda kuzuia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika Julai 23 mjini Dodoma.
JUVENTUS WAMNASA GONZALO HIGUAIN
Juventus wafikia makubaliano na mpachika mabao wa Napoli, Higuain.
Mabingwa wa Italia wamefanya makubaliano ya mkataba wa miaka minne na kiungo wa Napoli Gonzalo Higuain wenye thamani ya Euro milioni saba(€7milion) kwa msimu kwa mujibu wa mtandao wa goal.com.
Mabingwa wa Italia wamefanya makubaliano ya mkataba wa miaka minne na kiungo wa Napoli Gonzalo Higuain wenye thamani ya Euro milioni saba(€7milion) kwa msimu kwa mujibu wa mtandao wa goal.com.
SHAMBULIO LAUA ZAIDI YA WATU 80 NCHINI UFARANSA.
Zaidi ya watu 80 wameripotiwa kuuawa katika shambulio lililotokea katika mji wa Nice kusini mwa Ufaransa.
Thursday, 14 July 2016
ORODHA YA CLUB TAJIRI ZAIDI DUNIANIA
Hii ni orodha ya vilabu 10 vyenye thamani kubwa zaidi duniani kwa sasa. Orodha hii imetolewa na jarida la Forbes.
MAONI KUHUSU WALIMU KUKATWA MSHAHARA JUU YA MADAWATI
WALIMU KUKATWA MISHAHARA KWA SHULE AMBAZO WANAFUNZI WATAVUNJA MADAWATI.
Nikifuatilia kauli za serikali kwa mwaka 2016 sishangai saana kuona kauli hii ikitoka. Inaumiza saana kwa wenye taaluma ya ualimu lakini licha ya mchango mkubwa wa mwalimu kumbukeni huko nje jamii ndo inavowachukulia. Yaani mwalimu unaweza kusemwa kwa vyovyote vile na watu wengi wakaona sawa.
Nikifuatilia kauli za serikali kwa mwaka 2016 sishangai saana kuona kauli hii ikitoka. Inaumiza saana kwa wenye taaluma ya ualimu lakini licha ya mchango mkubwa wa mwalimu kumbukeni huko nje jamii ndo inavowachukulia. Yaani mwalimu unaweza kusemwa kwa vyovyote vile na watu wengi wakaona sawa.
THERESA MAY WAZIRI MKUU MPYA WA UINGEREZA.
Bi Theresa May amechukua usukani kama waziri mkuu wa Uingereza.
Akizungumza baada ya kupokea ufungua wa makao rasmi ya waziri mkuu wa Uingereza 10 Downing Street bi May
Akizungumza baada ya kupokea ufungua wa makao rasmi ya waziri mkuu wa Uingereza 10 Downing Street bi May
Wednesday, 13 July 2016
UJERUMANI YATAMBUA RASMI MAUAJI YA WAHERERO KAMA MAUAJI YA HALAIKI.
Ujerumani sasa inayatambua mauaji ya watu wa jamii ya waherero kama mauaji ya halaiki.
Serikali ya ujerumani mjini Berlin sasa imeyatambua rasmi mauaji yaliyofanywa na nchi hiyo kipindi cha ukoloni katika koloni la ujerumani ya kusini-Magharibi ambayo ni Namibia ya sasa kama yalikua ni mauaji ya halaiki.
Serikali ya ujerumani mjini Berlin sasa imeyatambua rasmi mauaji yaliyofanywa na nchi hiyo kipindi cha ukoloni katika koloni la ujerumani ya kusini-Magharibi ambayo ni Namibia ya sasa kama yalikua ni mauaji ya halaiki.
MBUNGE WA EAC APIGWA RISASI BURUNDI
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi Hafsa Mossi ameuawa na watu wasiojulikana mjini Bujumbura.
UKWELI UNAUMIZA ILA UONGO UNAUA!
UKWELI UNAUMA NA KUUMIZA ILA UONGO NDIO UNAOUA.
Uoga ni zao la Uongo. Na ni mwaanzo wa kufilisika kiutu na ni angamizo la mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Hakuna sababu ya kuzuia imani yako kwa woga wako. Unachokiamini kutoka moyoni ni bora kuliko unachokionesha machoni au kukisema mdomoni.(Uoga ni kua unajiongopea hadi mwenyewe; Umekua muongo mpka unapokosa wa kumdamganya basi unajidanganya mwenyewe).
Uoga ni zao la Uongo. Na ni mwaanzo wa kufilisika kiutu na ni angamizo la mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Hakuna sababu ya kuzuia imani yako kwa woga wako. Unachokiamini kutoka moyoni ni bora kuliko unachokionesha machoni au kukisema mdomoni.(Uoga ni kua unajiongopea hadi mwenyewe; Umekua muongo mpka unapokosa wa kumdamganya basi unajidanganya mwenyewe).
OBAMA AWAONDOA WASIWASI WAMAREKANI
Rais Barack Obama amewasihi Wamarekani kuacha kukata tamaa kutokana na wasiwasi wa kibaguzi uliojitokeza.
HABARI KUU MAGAZETINI SIKU YA LEO.
Soma kurasa za magazeti yako pendwa hapa…………>>>>https://t.co/rHyvDJjowP
Tuesday, 12 July 2016
DONALD TRUMP ALISHAWAHI KUMKUBALI HASIMU WAKE KUA RAISI WA NAREKANI
Binadamu tunaishi kwa kubadilika sana kulingana na mazingira. Mgombea wa uraisi nchini marekani alishawahi kumsifu hasimu wake wa sasa katika kinyang'anyiro cha kiti cha uraisi kupitia chama cha Democrat, Hillary Clinton.
RONALDO AMFUNIKA MESSI KWA MAPATO KWA MWAKA 2015
Christiano Ronaldo ndiye mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes.
SANDERS NA CLINTON KUSIMAMA PAMOJA
Wagombea wawili wa chama cha Democrat nchini Marekani, Ben Sander na Hillary Clinton wanatarajiwa kuungana pamoja kwa kile kinachoonekana ni kujaribu kuunganisha nguvu ya chama chao dhidi ya Republican.
TOP 10 MUGABE'S HILARIOUS QUOTES ON RELATIONSHIP
Check out 10 Hilarious Quotes By President Robert Mugabe On Relationships.
MARAISI WA ZAMANI KUSUSIA KONGAMANO KUU LA CHAMA CHA REPUBLICAN
BUSH Snr na Jr, Mitt Romney Kutohudhuria kongamano la chama cha Republican litakalo fanyika mwezi huu.
MAKABURI YA WAFILISTI YAFUKULIWA ISRAEL
Ugunduzi uliofanywa na Israel unaweza kutatua dhana ya muda mrefu ya kwenye biblia kuhusu asili ya wafilisti.
SMARTWATCH YAKO INAWEZA KUWAPA WAHALIFU NAMBA YAKO YA SIRI YA ATM.
Smartwatch na vifaa vingne tunavyovivaa mwilini vinaweza kutoa namba yako ya siri ya ATM kwa wadukuzi "hackers".
Monday, 11 July 2016
UEFA YAMTAJA MCHEZAJI BORA WA EURO 2016
Leo jumatatu UEFA imemtaja mshambuliaji wa ufaransa na mfungaji bora wa mashindano hayo Antoine Griezmann kua ndiye mchezaji bora ya michuano ya ulaya kwa mwaka 2016.
SAMSUNG YAFELI JARIBIO LA KUKAA KWENYE MAJI
Simu ya kisasa ya Samsung Galaxy S7 inayopigiwa upatu kuwa na uwezo wa kustahimili kuwa chini ya maji imefeli majaribio ya shirika la moja la kutathmini ubora wa bidhaa za kielektroniki.
Programu ya simu hiyo ya Samsung Active ilizima punde baada ya kutumbukizwa ndani ya pipa la maji.
Kampuni hiyo ya kutathmini ubora wa bidhaa, Consumer Reports ilirejelea jaribio hilo kwa mara ya pili wakitumia simu tofauti na kama ile ya kwanza ikafeli.
Kampuni ya kutengeza simu hiyo ya Samsung ikijitetea imesema huenda simu hizo zilikuwa ni mbovu na hivyo kuruhusu maji kuingia ndani.
Simu hizo zilitumbukizwa ndani ya mapipa ya maji na kutolewa baada ya dakika.
Simu hizo za Samsung zilizima.
Kulikuwa hata na maji katika eneo la kamera za simu hizo mbali na viputo.
Kampuni inayotengeza simu hizo kutoka Korea Kusini Samsung imejitetea vikali ikisema kuwa Galaxy S7 Active, inayouzwa Marekani imefanyiwa majaribio kabambe na hata kupewa cheti maalum cha IP68.
Programu ya simu hiyo ya Samsung Active ilizima punde baada ya kutumbukizwa ndani ya pipa la maji.
Kampuni hiyo ya kutathmini ubora wa bidhaa, Consumer Reports ilirejelea jaribio hilo kwa mara ya pili wakitumia simu tofauti na kama ile ya kwanza ikafeli.
Kampuni ya kutengeza simu hiyo ya Samsung ikijitetea imesema huenda simu hizo zilikuwa ni mbovu na hivyo kuruhusu maji kuingia ndani.
Simu hizo zilitumbukizwa ndani ya mapipa ya maji na kutolewa baada ya dakika.
Simu hizo za Samsung zilizima.
Kulikuwa hata na maji katika eneo la kamera za simu hizo mbali na viputo.
Kampuni inayotengeza simu hizo kutoka Korea Kusini Samsung imejitetea vikali ikisema kuwa Galaxy S7 Active, inayouzwa Marekani imefanyiwa majaribio kabambe na hata kupewa cheti maalum cha IP68.
GARI LIENDALO KWA KASI ZAIDI KUUNDWA NA LITATUMIA INJINI YA NDEGE.
Mradi wa kuunda gari liendalo kasi Zaidi duniani umefufuliwa na gari hilo linatarajiwa kujaribu kuvunja rekodi ya dunia mwaka ujao.
ETHIOPIA WAZIMA MITANDAO YA KIJAMII
Mitandao ya kijamii nchini Ethiopia imezimwa kwa sababu ya mtihani wa taifa. Waethiopia waliamka Wikiendi wakajipata hawana huduma hizo za mitandao kama Facebook, Twitter, Instagram na Viber.
KOREA KASKAZINI YATAKA MAWASILIANO NA MAREKANI
Maafisa wa runinga inayothibitiwa na serikali ya Korea Kaskazini, wanasema kuwa serikali ya nchi hiyo itakata mawasiliano na Marekani.
TOP 10 YA WACHEKESHAJI MAARUFU ZAIDI AFRIKA.
Wakati flani maisha yanaweza kwenda kombo lakini tunaweza kucheka tu. Hii hapa ni Top 10 ya wachekeshaji maarufu zaidi Afrika.
MTOTO WA OSAMA AAPA KULIPIZA KISASI JUU YA KIFO CHA BABA YAKE.
Mwanaye wa aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa kigaidi wa al Qaeda Osama bin Laden, ameapa kulipiza kisasi kwa mauaji ya babake.
URENO WATWAA UBINGWA WA EURO 2016 BILA CHRISTIANO RONALDO
Hatimaye timu ya taifa ya Ureno imetwaa kombe la mataifa ya Ulaya (EURO)2016 baadaya kuwazaba wenyeji wa mashindano hayo timu ya taifa ya Ufaransa goli 1-0.
Sunday, 10 July 2016
JE, HII NI SURA YA PILI YA KANALI MUAMMAR GADDAFI?
Imekua sio kawaida hata kidogo kwa aliyekua kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi kuzungumziwa kwa upande hasi kwani kila mwafrika ukiacha wachache sana walikua na bado wanaamini Gaddafi alikua ni mpiganaji wa bara la Afrika.
WACHEZAJI SITA AZAM WATEMWA, WAWILI WAFELI MAJARIBIO
UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, umetangaza rasmi kuwatema wachezaji sita kwa awamu ya kwanza huku nyota wawili wakifeli majaribio.
UTAMADUNI? MAMIA YA WATU KUPIGA PICHA ZA UTUPU
Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza.
MNYIKA; SINA MPANGO WA KUHAMA CHADEMA.
Dar es Salaam. Naibu Katiba Mkuu wa Chadema, John Mnyika amekanusha taarifa zinazodai kuwa anataka kuachana na chama hicho.
MWALIMU MKUU HUYU ANATUFAA SISI? (Sehemu ya 2)
HEADMASTER/MWALIMU MKUU
SEHEMU YA PILI.
Inaendelea ilipoiashia...
SEHEMU YA PILI.
Inaendelea ilipoiashia...
Subscribe to:
Posts (Atom)