KUTANA NA MARAIS WALIO BUKUA KWA SANA(VIPANGA) KUTOKA AFRIKA.
Sio tu kua hawa viongozi wana nguvu na ushawishi kisiasa bali ukiangalia taaluma zao pia ziko juu sana. Wana weledi mkubwa kitaaluma na hawa wanatuthibitishia ule msemo wa kiingereza usemao "readers are leaders". Orodha hii imepangwa kulingana na vigezo vyao vya kitaaluma.