Saturday, 20 August 2016

SHETANI ALIANZA LINI KUA SHETANI?

SHETANI ALIANZA LINI KUA SHETANI?

Hakika sifuri(0) sio sawa na o. Sifuri ni tarakimu lakini o ni herufi. Sifuri na o zinataka kufanana lakini hakuna hata siku moja sifuri iwe o na o iwe sifuri. Huo uwezekano haupo. O itabaki kua O na 0 itabaki kua 0. Wakati fulani tumekua na mazoea ya kutaka kulazimisha vitu vinavyofanana viwe sawasawa. Kufanana hakuna maana ni sawa sawa.

Friday, 19 August 2016

POGBA KUKIPIGA DHIDI YA SOUTHAMPTON

Mourinho: Pogba atacheza dhidi ya Southampton.

TRUMP APATA PIGO BAADA YA KUJIUZULU KWA MWENYEKITI WA KAMPENI.

Mwenyekiti wa kampeni ya Trump ajiuzulu


Mwenyekiti ya kampeni ya mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amejiuzulu miezi miwili tu baada ya kushika usukani.
Alichukua nafasi hiyo kama mwenyekiti wa kampeni, baada ya meneja wa zamani Corey Lewandowski kufutwa kazi mwezi Juni.

Tuesday, 16 August 2016

JUSTIN BIEBER AFUTA ACCOUNT YAKE INSTAGRAM, KISA DUUH!!!

Justin Bieber kafuta account yake ya Instagram yenye followers mil 77.8, kisa

Justin Bieber ambaye ni star aliyeanza muziki akiwa na umri mdogo na mpaka sasa anafanya vizuri katika game ameingia kwenye headlines baada ya kufuta account yake ya Instagram ambayo ilikuwa na followers milioni
77.8 .

MAMA WA USAIN BOLT AMTAKA MWANAE ATAFUTE MKE.










Usain Bolt akiwa na mama yake wakishangilia moja ya ushindi wake.

MAMA YAKE USAIN BOLT AMTAKA MWANAE KUOA.