Posts

Showing posts with the label MAKALA

'MALAIKA' ALIYEIKOA ISRAEL KUANGAMIZWA NA WAARABU

Image
  'MALAIKA' ALIYEIKOA ISRAEL KUANGAMIZWA NA WAARABU K atika ulimwengu wa kijasusi mambo mengi hutokea na wakati Fulani hivi ni ngumu kuamini kama hayo yanayotoka katika ulimwengu huo ni kweli au ni stori za kufikirika. Naam, ni takribani  miaka 50 sasa tangu Israel ilipopata taarifa za shambulio katika ardhi yao ndani ya saa 24 kabla ya tukio kutoka kwa “ANGEL” kwa maana ya “MALAIKA”. Ambapo bila taarifa kutoka kwa huyu "the Angel" kusingekua na Israel na kama ingekuepo basi ingekua tofauti sana na iliyopo sasa. 

BILA HAWA WATANO KUFA, ISRAEL HAIWEZI KULALA GAZA

Image
  Moshi mkubwa baada ya kombora kupiga sehemu ya majengoya Gaza NETANYAHU HAWEZI NA IDF HAIWEZI KULALA KAMA HAWA BADO WAKO HAI Ni zaidi ya miezi miwili tangu Oktoba 7 ambapo wanamgambo wa HAMAS waliweza kuvamia kusini mwa Israel na kufanya uharibifu mkubwa wa miundombinu na kibinadamu na kugharimu maisha ya zaidi ya Waisrael 1200 huku wengine zaidi ya 240 wakichukuliwa mateka mpaka ukingo wa Gaza. Benjamin Netanyahu a.k.a Bibi awali alivikosoa vikosi vya jeshi la Israel kwa kushindwa kuzuia shambulio hiilo baya ana la aibu kwa Israel lakini baadae aliomba radhi na ujumbe wake huko X (zamani Twitter) ukaondolewa. Netanyahu aliapa kwamba Israel italipa kisasi juu ya tukio hilo na kwamba Hamas watalipa gharama kubwa na kwamba ni lazima kundi la HAMAS liangamizwe kabisa. J e kauli yake inawezekana? Umeskia nini kuhu Isarel? Inalindwa lakini unajua nini kuhusu HAMAS? Ni kikundi cha magaidi au ni zaidi ya hapo? Fuatilia kwa makini…

MGOGORO WA ISRAEL NA PALESTINA-3

Image
  HAMAS: KUTOKA KIKUNDI CHA KUTOA MISAADA MPAKA KIKUNDI CHA KISIASA NA KIJESHI.                                  Jeshi la Israel  Ili kuelewa imani na itikadi kali ya Hamas kabla hata kuundwa kwake tuone kidogo ikitikadi ya Waarabu juu ya taifa la Israel hasa kabla ya vita vya siku sita [5-11 June 1967]. Hizi ni kauli za kukupa picha HAMAS wanasimamia nini na Wanapigania nini. Radio Cairo ilitangaza kua " [Watu] Waarabu wamedhamiria kikamilifu kuifuta Israel katika ramani na kirejesha heshima ya watu wa Palestina" . May 25, 1967. May 28, 1967 rais wa Misri Gamal Abdel Nasser anasema   " Hatutakubali uwezekano wowote ule wa Israel na Palestina kuwepo pamoja ". 31 May 1967 rais wa Iraq Abdel Rahman Aref anasema " Uwepo wa Israel ni dosari ambayo ni lazima irekebishwe". Utaona msimamo mkali wa Waarabu dhidi ya Israel kwa hio salama ya Israel ilikua ni kupitia kujua namna gani ataku...

MWALIMU MKUU HUYU ANATUFAA SISI? (Sehemu ya 2)

HEADMASTER/MWALIMU MKUU SEHEMU YA PILI. Inaendelea ilipoiashia...