Wednesday, 30 September 2020

DALILI ZA SIRI AMBAZO ZINAASHIRIA MWILI WAKO HAUKO SAWA.


 

Wakati flani sote hua tunaamini kwamba tuko bukheri wa afya njema kabisa, lakini kwa kiasi kikubwa bado tunaweza kua sio sahihi. Swala la kuhakikisha unakua na afya njema ni la msingi kabisa na ni lazima lipewe kipaumbele. Kuna dalili kadhaa ambazo mwili huonesha lakini wengi wetu huzipuuzilia mbali kwani hua hawaoni kama dalili hizo hazina madhara makubwa kwenye afya yao. Lakini ukweli ni kwamba dalili ndogondogo zina maana kubwa kwa afya yako hivyo basi chukulia tahadhari na umakini mkubwa kuhusiana na vitu hivyo vidogo vidogo zinavyotokea katika mwili wako. Hizi baadhi ya dalili za siri zinazoashiria hauko sawasawa kiafya. 

Friday, 5 June 2020

HISTORIA FUPI YA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI


HISTORIA YA UBAGUZI WA RANGI AMERIKA (MAREKANI)

Ubaguzi wa rangi ni kitendo cha/imani ya kumbagua/kumtenga/kumchukia mtu kwa misingi ya asili yake na rangi ya ngozi yake. Hii sio kitu kigeni sana na ni vigumu kusemea kirahisi ni lini hasa ubaguzi wa rangi ulianza hasa kabla ya karne ya 15. Wakati wazungu wanakuja Afrika kwa mara ya kwanza kutoka Ureno (Portugal) walidhan kua Waafrika ni jamii hasimu kwao kwa maana ina uwezo sawa na wao lakini punde wakajua waafrika walikua dhaifu kwenye baadhi ya maeneo na hapo waafrika wakaanza kuchukuliwa jamii dhaifu (Inferior race). Hali hii ndio iliopelekea kuzaliwa kwa biashara haram na ya kishenzi_biashara ya utumwa.