POGBA KUKIPIGA DHIDI YA SOUTHAMPTON

Mourinho: Pogba atacheza dhidi ya Southampton.



Kocha wa Manchester United José Mourinho amethibitisha kua mchezaji ghari zaidi kwa sasa Paul Pogba ataweza kucheza "dakika kadhaa" dhidi ya Southampton usiku huu. Mourinho aliyasema hayo alipokua akiongea na kituo cha televisheni cha MUTV kufuatia mchezo wao wa kwanza wa msimu huu katika uwanja wa Old Trafford.

Pogba alisajiliwa kwa uhamisho uliovunja rekodi ya dunia kutoka Juventus kwa kiasi cha karibu £117milion.

Comments

Popular posts from this blog

HII NDIO HATARI KAMILI KATIKA VITA HUKO UKRAINE. VITA YA TATU YA DUNIA AU VITA VYA NYUKLIA

TOP 10 YA SIMU ZENYE KAMERA BORA ZAIDI DUNIANI MPAKA SASA

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?