Tuesday, 19 July 2016

NANI KUA MWANASOKA BORA KWA MWAKA HUU?

Shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016, majina hayo 10 yametangazwa huku Cristiano Ronaldo akipewa nafasi ya kushinda tuzo hiyo itakayotolewa Agosti 25 mwaka huu.

Majina hayo 10 yametangazwa baada ya kufanyika mchujo wa majina ya wachezaji 37 ambao walikuwa wamependekezwa awali na kupigiwa kura, ambapo UEFA imetaja majina ya wachezaji 10 waliofanikiwa kuingia katika kumi bora ikiwa majina 27 ya wachezaji yaliingia katika kinyanga’nyiro hicho.
Majina ya wachezaji hao kumi ni;

Gareth Bale – Real Madrid
Gian-luigi Buffon -Juventus
Antoine Griezmann - Atletico Madrid
Toni Kroos - Real Madrid
Lionel Messi -Barcelona
Thomas Müller -Bayern Munich
Manuel Neuer -Bayern Munich
Laveran Ferreira Pepe - Real Madrid Cristiano Ronaldo -Real Madrid
Luis Suarez –Barcelona.

No comments:

Post a Comment