Posts

DROO YA MAKUNDI YA UEFA 2017/2018

Image
Droo ya kupanga makundi ya UEFA kwa msimu wa 2017/2018 imefanyika leo huko Monaco,  Ufaransa.  Shirikisho la soka barani ulaya leo tarehe 24, August 2016 limetoa tuzo kwa wachezaji nyota waliong'ara kwenye michuano ya klabu bingwa ulaya(UEFA Champions League) kwa msimu wa 2016/2017 pamoja na kutoa orodha ya makundi ya michuano hio mikubwa barani ulaya kwa msimu wa 2017/2018. Nani kucheza na nani Ulaya? Droo ya Klabu Bingwa Ulaya 2017-18 Droo hii ilikua na timu 32 yametoka makundi manane. 

KANDE ZA MPAISHA MTU HUKO KENYA.

Image
Martin Kamotho (Githeriman)  kabla na baada ua kupata msaada.  Picha kwa hisani ya Google.  Maisha hayana maana moja na kila mtu atatoa maana ya maisha kwa vile ambavyo yeye anachukulia ni nini maisha yana maanisha kwake. Na kila siku hua tunasikia watu wakisema "Hakuna kukata tamaa" ni kweli lakini mwingine anajiuliza kwanini nisikate tamaa??  Kila mtu ana jibu lake sasa leo tumepata somo jingine zuri sana kutoka Kenya.

VURUGU ZIMEZUKA KWENYE MAANDAMANO MAREKANI

Image
Waandamanaji wakiwa katika moja ya viunga vya Charlottesville, Virginia.  Mamia ya  wamarekani weupe (wazungu) na wale wanaowapinga walitarajia kufanya maandamano leo jumamosi kwa kile kilichofahamika kama "Unite the Right"(Ungana na mrengo wa kulia)  huko Charlottesville, Virginia

MATOKEO KIDATO CHA SITA 2017

Image
Matokeo ya kidato cha sita nchini yametolewa leo Jumamosi, Julai 15, yameonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu ambapo kati ya wasichana 28,731 (38 asilimia) waliofanya mtihani, waliofaulu ni 27,577 (sawa na asilimia 97.21).

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2017

Serikali imetoa orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi.  Kuangalia orodha hio bofya hapa; 1.  http://www.tamisemi.go.tz/form_five_selection_or/ 2.  http://www.tamisemi.go.tz/noticeboard/tangazo-1068-20170609-Uchaguzi-kujiunga-kidato-cha-5-vyuo-vya-ufundi-2017/ORODHA-YA-WANAhiFUNZI-WATAKAOPANGIWA-AWAMU-II.pdf

WATU WALIOKATALIWA KUISHI NCHI KAVU.

Image
Wabajui huishi na familia zao kwenye vibanda vyao vya miti vilivyojengwa baharini kwani wamezuiwa kuishi nchi kavu na pia pia wakikaa sana nchi kavu wanajihisi kuumwa.  Dunia ina mambo mengi sana, mengine yanastaajabisha, mengine kuudhi na mengine kufurahisha. Ila hili sijui linaleta picha gani. Bahari ni makazi ya karibu nusu ya viumbe hai waishio duniani ila sisi binadamu sio mojawapo ya viumbe hivyo kwani hatuwezi kukaa ndani ya maji ya chumvi kwa   muda mrefu, hatuwezi kuzama na kukaa kwenye kina cha bahari kwa muda mrefu lakini kinyume na haya yote kuna baadhi ya binadamu karibia maisha yao yote ni baharini! Wamejenga "vijumba/vibanda" vyao vya miti huko na asilimia zaidi ya 90 wanaishi huko na sio nchi kavu! Naam, ni watu jamii ya

KOREA KASKAZINI YAFYATUA KOMBORA JIPYA.

Image
Google Uwezo wa makombora yanayomilikiwa na Korea kaskazini.  Korea kaskazini imerusha kombora jingine mapema leo jumapili ambalo liliruka karibu 700km, hayo ni kwa mujibu wa jeshi la Korea kusini. Hayo yanajiri ikiwa ni siku chache tu tangu rais mpya wa Korea kusini kushika wadhifa wa urais hapo jumatano. Rais mpya wa Korea alisisitiza kua yuko tayari kufanya mazungumzo na utawala wa Pyongyang kama mazingira yataruhusu.