Posts

FACEBOOK KUTUMIKA KUTUMA NA KUPOKEA PESA.

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni na hayawi hayawi sasa yamekua.

WATU 12 WAFARIKI KWENYE FOLENI

Watu 12 wamefariki nchini Indonesia kutokana na foleni ya magari iliyosababisha mamilioni ya watu kukwama barabarani siku kadha.

UNATAKA KUFUTA TAARIFA ZAKO KUTOKA GOOGLE? USIPITWE NA HII HAPA.

Ulishawahi kukaa ukafikiria kama unahitaji kufuta taarifa zako kutoka Google? Sasa usiwaze kila kitu ni kirahisi. Labda ulishawahi kutumia Google kutafuta taarifa flani na

KAMA UNAMILIKI SMARTPHONE NA UNAPENDA KU EDIT PICHA HAKIKISHA HAPITWI NA HII

Kama unamiliki smartphone au kompyuta na unapendelea kuhariri picha zako basi moja kati ya hizi application za kuhariri picha sio za kukosa!! Unaanzaje kukosa kwa mfano??

TOP 10 YA VIONGOZI WANAOTUMIA MAGARI YA BEI MBAYA KULIKO

Inaendelea..... Haya magari ntatoa baadhi ya sifa zake kwa ufupi.

PILISI WANNE WAUWA NA SABA KUJERUHIWA

Maafisa wanne wa polisi mjini Dallas, Marekani wamepigwa risasi na kuuawa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi.

ZIJUE NCHI AMBAZO VIONGOZI WAO WANATUMIA MAGARI YA BEI MBAYA KULIKO

Maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga wenzetu walichagua. Wafalme, malkia, maraisi na masultani wanachagua wanachokitaka. Hapa nina orodha ya