MWANAFUNZI ATENGENEZA BOMU LA MACHOZI,

Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda amevumbua njia ya kutengeneza mabomu ya kutoa machozi ambayo hutumika na vikosi vya Polisi mara nyingi kuzima maandamano.


Kwa sasa mwanafunzi huyo Samuel Mugarura anatarajia kukutana na Rais Yoweri Museveni ili kupokea pongezi kutokana na uvumbuzi wake.

Comments

Popular posts from this blog

HII NDIO HATARI KAMILI KATIKA VITA HUKO UKRAINE. VITA YA TATU YA DUNIA AU VITA VYA NYUKLIA

TOP 10 YA SIMU ZENYE KAMERA BORA ZAIDI DUNIANI MPAKA SASA

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?