Wednesday, 10 August 2016

SIFA 5 ZINAZOKUONESHA KUA WEWE NI "SMART" KULIKO WENZAKO.

KAMA UNA VITU HIVI JUA WEWE UKO SMART KULIKO WENGINE.

Wanasayansi wamegundua vitu vitano vinavyoonesha kua wewe ni smart kuliko wengine.

1. Mtu anaetumia mkono wa kushoto(Left handed).
Ni zawadi ya ubunifu ulopewa tangu kipindi unazaliwa. Watu wanaotumia mkono wa kushoto wana maamuzi ya haraka kuliko wale wa kawaida(mkono wa kulia).

2. Mcheshi(sense of humor)
Kuna utafiti ulifanywa karne ya kumi na saba na ulionesha kua wachekeshaji wa IQ kubwa kuliko wengine.

3. Mzaliwa wa kwanza
Zamani ilikua mzaliwa wa kwanza anapewa urithi mara mbili ya wengine kwa kutambua thamani yake. Hata sasa wazaliwa wa kwanza wanaheshimika kwani wao ndio kioo cha ndugu zake wanaomfuata.

4. Kuchelewa kuamka
Wanasayansi wamegundua kua kua wale wote wanaochelewa kuamka ni bora kuliko wale wanaodamka asubuhi na mapema.

5. Introvert (Mndani)
Huyu ni mtu anaetegemea sana uwezo au vyanzo vya ndani kwaajili ya maendeleo yake. Zaidi 60% ya watoto wenye vipaji ni introvert. Wanatumia walivyo navyo ndani kuliko vilivyo nje.

Kwa sifa hizi je wewe ni smart kuliko wengine????

1 comment:

  1. Hapo kwenye kuamka wamechelewa sijaridhia hiyo point

    ReplyDelete