NDEGE INAYOWEZA KUPAA NA KUTUA MAJINI.


China imeunda ndege kubwa zaidi duniani ambayo ina uwezo wa kupaa au kutua kwenye maji au uwanja wa ndege.
Ikizinduliwa ndege hiyo ilishangiliwa na umati wa watu katika mkoa ulio kusini wa Guangdong.

Waandisi wa Kichina wanasema kuwa ndege itatumiwa kupambana na moto wa msituni na kwa huduma za baharini hasa katika vituo vya China vilivyo eneo linalozozaniwa.

Comments

Popular posts from this blog

HII NDIO HATARI KAMILI KATIKA VITA HUKO UKRAINE. VITA YA TATU YA DUNIA AU VITA VYA NYUKLIA

TOP 10 YA SIMU ZENYE KAMERA BORA ZAIDI DUNIANI MPAKA SASA

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?