HASIRA ZAONGEZEKA MIONGONI MWA WAKAZI WA BAGHDAD.

Kufuatia shambulio la kigaidi la lililotekelezwa na kikundi cha ISIL na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 200 wengi wao wakiwa n watoto kimeamsha hasira miongoni mwa wakazi wa Baghdad wengi wao wakiilaumu serikali ya Iraq kushindwa kuwalinda.
Shambulio hilo la mapema jumapili limesababisha tafrani kubwa miongoni mwa wananchi wa Baghdad kwa kua licha ya  serikali kutangaza kuukomboa mji wa fallujah ambao ulikua n ngome muhimu kwa ISIL  lakini bado haijaweza kuhakisha kua maeneo yote ya Iraq yanapata ulinzi wa kutosha ili kukabiliana na wanamgambo wa ISIL.

Comments

Popular posts from this blog

TOP 10 YA SIMU ZENYE KAMERA BORA ZAIDI DUNIANI MPAKA SASA

HII NDIO HATARI KAMILI KATIKA VITA HUKO UKRAINE. VITA YA TATU YA DUNIA AU VITA VYA NYUKLIA

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?