MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA KUCHUNGUZWA DAR.

Ndege iliyopotea Malaysia kuchunguzwa nchini


Florence Majani
Bawa mojawapo la ndege hiyo linadaiwa kupatikana hivi karibuni katika Kisiwa cha Kojani,
Pemba na tayari wataalamu wa uchunguzi wa ndege kutoka Malaysia wanatarajia kuja nchini kulichunguza.
Dar es Salaam. Unaikumbuka ndege aina ya Boeing 777 ya Shirika la Ndege la Malaysia, MH 370 iliyopotea Machi 8, 2014?
Bawa mojawapo la ndege hiyo linadaiwa kupatikana hivi karibuni katika Kisiwa cha Kojani, Pemba na tayari wataalamu wa uchunguzi wa ndege kutoka Malaysia wanatarajia kuja nchini kulichunguza.
Mkurugenzi wa Kanuni za Usalama wa Anga wa Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA), Redemptus Bugomola amesema
wachunguzi wa ndege wanakusanya vipande vya bawa hilo tayari kwa uhakiki.

Source: Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

HII NDIO HATARI KAMILI KATIKA VITA HUKO UKRAINE. VITA YA TATU YA DUNIA AU VITA VYA NYUKLIA

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?

TOP 10 YA SIMU ZENYE KAMERA BORA ZAIDI DUNIANI MPAKA SASA

'MALAIKA' ALIYEIKOA ISRAEL KUANGAMIZWA NA WAARABU