KWA MARA YA KWANZA KABISA SAYARI YA JUPITER (ZOHALI) KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA.

NASA imetoa taarifa kua chombo chao cha JUNO kilichotumwa mwaka 2011 kewasili mapema leo asubuh na kuanza kazi yake ya kuizunguka sayari hio. NASA  wanatarajia kukitumia chombo hicho hadi mwezi February 2018. Kwa maelezo zaidi soma hapa..>>>http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/07/160704_juno_spacecraft

Comments

Popular posts from this blog

HII NDIO HATARI KAMILI KATIKA VITA HUKO UKRAINE. VITA YA TATU YA DUNIA AU VITA VYA NYUKLIA

AFRIKA NI KUBWA KIASI GANI? KWANINI SASA WAAFRIKA WANADAI RAMANI HALISI?

TOP 10 YA SIMU ZENYE KAMERA BORA ZAIDI DUNIANI MPAKA SASA

'MALAIKA' ALIYEIKOA ISRAEL KUANGAMIZWA NA WAARABU